Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini

Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini

Jukwaa la Wanafunzi

Kifungu Namba 31 (1)(e) kinatoa jukumu kwa Baraza, Kuunda majukwaa kwenye maeneo ya shule/vyuo/taasisi zenye Watumiaji wa huduma za usafiri wa Sekta zinazodhibitiwa na Kushauriana nazo.

Jukumu hili, lilitekelezwa kwa kufungua Jukwaa la UNIFORUM – UDSM. Baraza linaendelea kufungua jukwaa kama hili kwenye Shule/ Vyuo/ na taasisi mbalimbali lengo likiwa ni kufikisha Huduma zaidi kwa Jamii (wadau wote).