Habari
Dai tiketi, ni haki yako
Kama umelipa nauli halali na hukupewa tiketi mwambie dereva au kondakta na uombe upatiwe tiketi yako mara moja. Ni muhimu kudai tiketi yako kwa sababu ni ushahidi wa malipo na haki yako kama abiria.
Kama umelipa nauli halali na hukupewa tiketi mwambie dereva au kondakta na uombe upatiwe tiketi yako mara moja. Ni muhimu kudai tiketi yako kwa sababu ni ushahidi wa malipo na haki yako kama abiria.