Habari
Maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa maarufu Sabasaba
Dkt.Augustus Fungo, Kaimu Mwenyekiti wa LATRA CCC,aliungana na Sekretarieti ya Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere , Dar es Salaam.