Habari
Maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa maarufu Sabasaba
Bw.Leo Ngowi ,Meneja Leseni - LATRA,alitembelea banda la LATRA CCC katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere , Dar es Salaam. Maonyesho hayo yalianza Juni 28 na yatafika tamati Julai 13 , 2024.