KARIBU
Baraza la Ushauri la watumiaji Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC) tunapenda kukukaribisha katika tovuti yetu hii.
Baraza lilianzi... Soma zaidi
Sekretarieti ya LATRA CCC,wakiwa kwenye picha ya pamoja na wadau wa usafirishaji kutoka Afrika Kusini walipotembelea banda la baraza kwenye maonesho ya Sabasaba.
Sekretarieti ya LATRA CCC wakiwa kwenye picha ya pamoja katika Maonesho ya Sabasaba Banda la Jakaya Kikwete chumba Namba 44.
Mwenyekiti wa LATRA CCC Dkt George Makuke akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya mtumiaji duniani yaliyofanyika Jijini Mwanza.
Kaimu Katibu Mtendaji LATRA CCC Leo Ngowi akisoma hotuba fupi kwa mgeni rasmi kuhusiana na utendaji kazi wa Jukwaa la watumiaji Tz kwenye kilele cha siku ya mtumiaji duniani iliyofanyika Jijini Mwanza.
Wajumbe na Sekretarieti ya LATRA CCC wakipewa maelezo kuhusiana na maendeleo mradi wa SGR eneo la Kwala na Eng.Rehab Mahaja Meneja Mradi Kipande cha Mkoa wa Pwani kwenye ziara ya kujifunza utekelezaji wa mradi kipande cha Dar es Salaam-Kilosa
WAJUMBE WA BARAZA LATRA CCC WAKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA SEKRETARIETI YA BARAZA