Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC) linakakaribisha wananchi na wadau wote katika Maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam , maarufu kama Sabasaba, yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.